Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja
na baadhi ya wakuu wa mikoa waliowawakilisha wenzao kwenda ikulu leo kumjulia
hali na kumpa pole kufuatia upasuaji alifanyiwa mwezi uliopita nchini
Marekani.(picha na Freddy Maro)
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
7 hours ago


No comments:
Post a Comment