mike sonko Siku hiyo alikuja na gari kama mbili moja ikiwa
imembebe yeye na nyingin ambayo ndio V8 ya gold nyingine ilikuwa Hummer nyeusi
ilikuwa imemebaba walinzi wake walikuwa na silaha kama wanajeshi wanaokwenda
vitani. Kweli pesa sabauni ya roho kama unataka kufa mapema jaribu kumgusa
Senetor uone
DC ILALA AMALIZA MGOMO WA WAFANYAKAZI ZAIDI YA 1,500 WA KIWANDA CHA NAMERA,
GONGOLAMBOTO
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Edward Mpogolo, amefanikiwa kumaliza mgomo wa
wafanyakazi zaidi ya 1,500 wa Kiwanda cha NAMERA kilichopo Gongolamboto,
jijini...
6 hours ago




No comments:
Post a Comment