Mario Balotelli ni mchezaji wa Liverpool alipost picha hii
kwenye page yake ya Instagram akiangalia timu yake kupitia tv akiwa nyumbani.
Liverpool na Chelsea walipepetana kugombea kikombe cha Capital One na timu hizo
zilitoshana nguvu kwa kufungana goli moja kwa moja Balotelli akuweza kuwepo
uwanjani kwa vile ni mgonjwa
MILIONI 422 ZA CSR KUKAMILISHA MIRADI VIPORO ZA MIRADI GEITA
-
Na Mwandishi wetu, Geita
KIASI cha shilingi milioni 422 cha fedha za kusaidia jamii inayozunguka
kampuni (CSR) zilizotolewa na mgodi wa dhahabu wa Geita (...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment