Mario Balotelli ni mchezaji wa Liverpool alipost picha hii
kwenye page yake ya Instagram akiangalia timu yake kupitia tv akiwa nyumbani.
Liverpool na Chelsea walipepetana kugombea kikombe cha Capital One na timu hizo
zilitoshana nguvu kwa kufungana goli moja kwa moja Balotelli akuweza kuwepo
uwanjani kwa vile ni mgonjwa
Rais Samia: Mahakama Huru ni Nguzo ya Utawala Bora na Maendeleo ya Taifa.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amesema hakuna taifa linaloweza kufikia maendeleo endelevu na ustawi wa
wananchi w...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment