Mario Balotelli ni mchezaji wa Liverpool alipost picha hii
kwenye page yake ya Instagram akiangalia timu yake kupitia tv akiwa nyumbani.
Liverpool na Chelsea walipepetana kugombea kikombe cha Capital One na timu hizo
zilitoshana nguvu kwa kufungana goli moja kwa moja Balotelli akuweza kuwepo
uwanjani kwa vile ni mgonjwa
NAIBU WAZIRI MMUYA AWASILI ZIMBABWE KUSHIRIKI MKUTANO WA SITA WA MASUALA YA
MAAFA
-
NA MWANDISHIWI WETU – MASVINGO – ZIMBABWE
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Kaspar Mmuya
(Mb), amewasili nchini Zimbabwe kushirik...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment