Mario Balotelli ni mchezaji wa Liverpool alipost picha hii
kwenye page yake ya Instagram akiangalia timu yake kupitia tv akiwa nyumbani.
Liverpool na Chelsea walipepetana kugombea kikombe cha Capital One na timu hizo
zilitoshana nguvu kwa kufungana goli moja kwa moja Balotelli akuweza kuwepo
uwanjani kwa vile ni mgonjwa
Kimataifa : Rais Samia Aondoka Kuelekea Urusi kwa Ziara ya Kitaifa
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nye...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment