Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, April 8, 2015

TAZAMA PICHA 8::Magwiji wa Barcelona Simao Sabrosa na Kluivert wawasili Tanzania


Mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Patrick Kluivert akiwaongoza wachezaji wenzake akiwepo Simao Sabrosa muda mfupi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA)

 Wachezaji wa Barcelona wakielekea upande wa watu mashuhuri katika uwanja wa ndege wa Kiamtaifa wa Kilimanjaro(KIA)


Mchezaji Luis Garcia(kulia) akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro .kushoto ni mratibu wa safari ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Royco Garcia



Wachezaji wa zamamni wa klabu ya Barcelona wakijadiliana jambo katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro muda mfupi mara baada ya kuwasili na ndege ya shirika la ndege la KLM.
 


Simao Sabrosa mchezaji wa zamani wa klabu ya Barceona akiwa katika eneo la mapumziko katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro.

Mchezaji Patrick Kluivert akizingumza kwa simu muda mfupi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro KIA jana usiku .

No comments:

Post a Comment