Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, November 25, 2015

BARCELONA YAITWANGA ROMA 6-1,MESSI SUAREZ MOTO MKALI

Barcelona sasa haishikiki, kama unabisha waulize AS Roma ya Italia.
Baada ya kuitwanga Real Madrid mabao 4-0 katika mechi ya La Liga, leo imeangushia kipigo AS Roma cha mabao 6-1 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Mabao ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi na Luis Suarez ambao kila mmoja amefunga mawili, Gerard Pique na Adriano kila mmoja akafunga moja
Eden Dzeko alifunga bao pekee la Roma lakini akakosa kufunga mkwaju wa penalti kama ilivyokuwa kwa Neymar.

No comments:

Post a Comment