Bayern Munich bado kiwembe asee! Imeikong’ota Olimpiakos ya Ugiriki kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Sasa ina uhakika wa kila kitu katika hatua ya mtoano na shukurani zinaenda kwa Douglas Costa, Robert Lewandwski, Thomas Muller na Kingsley Coman.
No comments:
Post a Comment