Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, November 23, 2015

BREAKING NEWS: RAIS MAGUFURI AFUTA MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA UHURU

Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue amesema rais.John Pombe Magufuli amefuta maadhimisho ya siku ya Uhuru December 9 na kuagiza fedha zilizopangwa kwa shughuli hiyo zitengwe kwaajili ya kufanyia shughuli nyingine na pia akaagiza siku hiyo kutumika kwaajili kufanya usafi nchi nzima kwaajili ya kukabiliana na ugonjwa wa Kipindupindu.

No comments:

Post a Comment