Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, November 19, 2015

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO YATOA SH. MILIONI 200 KUDHAMINI KILIMANJARO MARATHON 2016

 Meneja Mawasiliano wa  Kampuni ya Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), katika hafla ya kuzindua msimu mpya wa mbio za Kilimanjaro Marathon 2016. Tigo wametoa zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya mbio hizo.
 Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Alex Nkenyenge (wa tatu kulia), pamoja na wadhamini wa Kilimanjaro Marathon 2016, wakifyatua fataki za karatasi ikiwa ni ishara ya kuzindua maandalizi ya mbio hizo Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa mashindano hayo, John Bayo

 
 Mkurugenzi wa mashindano hayo, John Bayo (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo.
 Wadau wa michezo na waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano huo.
  Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Alex Nkenyenge (katikati), akizungumza na wadau wa michezo wakati akizindua maandalizi hayo ya Kilimanjaro Marathon 2016.
Wanahabari wakichukua taarifa za uzinduzi huo.

No comments:

Post a Comment