Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, November 3, 2015

[PICHA]: MISA YA MAREHEMU MAMA GREN JUDICA MOSHI Washington DC

Ndugu, jamaa na marafiki mbalimbali, jana (Novemba mosi 2015) walijumuika na wanafamilia katika misa na kusherehekea maisha ya Mama Gren Judica Moshi iliyofanyika hapa Washington DC
Watoto wawili wa Marehemu Donald na James Moshi, na ndugu wengine, waliungana kwa misa hiyo iliyofanyika alasiri na kufatiwa na chakula cha pamoja
Mchungaji kiongozi wa Kanisa la The Way of the Cross Gospel Ministries Ferdnand Shideko, akiwakaribisha watu waliohudhuria misa hiyo
Mch John Kadyolo akifungua misa kwa maombi
 Wanafamilia

 Richard Mollel akisoma somo la kwanza

 
Janice Manse akisoma somo la pili
 Joseph Maro akisoma historia ya marehemu Gren Judica Moshi
 Julius Manase, akiongoza utaratibu wa ibada
Mchungaji Ferdnand Shideko akihubiri
 Wachungaji wakiombea familia
 Watoto wa Marehemu, Donald na James Moshi wakifuatilia Ibada
Wachungaji wakiongoza maombi kwa wanafamilia
 Andrew Mushi akitoa shukrani kwa niaba ya familia



No comments:

Post a Comment