Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, November 21, 2015

WAZIRI MKUU MAJALIWA KWENYE HAFLA FUPI YA KUZINDUA BUNGE

X1 X2
Waziri  Mkuu,   Majaliwa Kassim Majaliwa  akizungumza na  Mke wa Rais Mstaafu wa  Awamu ya Nnne , Mama Salma Kikwete katika hafla fupi  iliyoyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjiniDodoma  baada ya Rais John Magufuli kuzindua Bunge Novemba 2015.
X3
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Kassim  wakizungumza na baadhi ya wabunge  na waalikwa waliohudhuria hafla fupi  iliyofanyika kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma  baada ya Rais John Magufuli kuzindua Bunge Novemba  20, 2015.

 
X4
Waziri  Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na mbunge wa Mufindi, Cosato Chumi katika hafla  fupi ya kuzindua bunge iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Novemba 20, 2015. Katkati ni Mbunge wa ROrya Lameck Airo.
X5
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na  Spika wa Bunge Job Ndugai (kushoto) , Mkewe Mary  (wapili kushoto) na  Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilila  (wapili kulia) katika hafla ya  kuzindua Bunge iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 20, 2015.
(Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment