Kikundi Cha kujitolea Nchini Nigeria kutoka Danish wamemsaidia kijana mdogo wa Kiume ambaye alikuwa ametelekezwa na Familia yake kwa takribani miezi 8 kwa Tuhuma za kwamba ni mchawi.Kikundi hicho cha misaada kilimchukua kijana huyo na kumpeleka hospitali nakuanza kupatiwa matibabu,na hatimaye kuanza kumlea.
Chanzo Daily Mail
Waongoza ndege kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Uganda (UCAA) wahitimu
katika cha CATC
-
Wahitimu wa Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC), kutoka Mamlaka ya Usafiri wa
Anga ya Uganda (UCAA) wamekumbushwa kwamba kusoma hakuishii darasani pekee,
meng...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment