Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, February 4, 2016

SIMBA WAIRARUA MGAMBO JKT KWA GOLI 5 KWA 1


 Wachezaji wa Simba wakishangilia baada ya timu yao kuifunga Mgambo Shooting 5-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania. (Picha na Francis Dande)
 Beki wa Mgambo akimdhibiti mshambuliaji wa Simba, Haji Ugando.
 Haji Ugando akimtoka beki wa Mgambo.

 
 Mshambuliaji wa Simba, Daniel Lyanga (kushoto), akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Mgambo Shooting, Aziz Gilla katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Simba, Daniel Lyanga (kushoto), akichuana na beki wa Mgambo Shooting, Aziz Gilla katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Kocha wa Simba, Jackson Mayanja akifuatilia mchezo huo.
Mashabiki wa Simba.

No comments:

Post a Comment