Baadhi ya abiria waliokuwa wamepanda kivuko cha Mv Kigamboni wakiwa wamekumbwa na butwaa kufuatia kivuko hicho walichokuwa wamepanda kukatika sehemu ya kushukia abiria na Magari na kupelekea hofu kubwa miongoni mwao,kama uonavyo pichani baadhi ya abiria hao wakijaribu kujinusuru na hali hiyo,kwani kivuko hicho kilikuwa kimesheheni abiria lukuki
Wananchi wa Babati wanufaika na Bima ya Afya kwa Wote, RC Sendiga aongoza
zoezi Imbilili
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*WANANCHI wa kaya maskini katika Kijiji cha Imbilili, Kata ya Sigino,
Wilaya ya Babati mkoani Manyara, wameanza kunufaika na...
5 hours ago





No comments:
Post a Comment