Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na waandishi wa habari katika hospitali ya Hindu Mandal Jijini Dar es Salaam kuelezea maendeleo ya afya yake. Amesema anaendelea vyema baada ya jana kuugua ghafla na kulazwa katika hospitali hiyo. Amewashukuru wananchi ndani na nje ya nchi kwa kuonesha mapenzi na mashirikiano makubwa. Anatarajiwa kutoka hospitalini hapo leo jioni (Picha na Salmin Said, OMKR)
INEC YAVISISITIZA VYAMA VYA SIASA KUWEKA MAWAKALA VITUO VYA KUANDIKISHA
WAPIGA KURA
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs
Mwambegele ametembelea na kukagua mafunzo ya vitendo kwa Maafisa
Waandikishaj...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment