Mwana
dadiva anaeendisha kipindi cha ala za roho ndani ya the people's
station Diva loveness love jana amefunguka alipokuwa akifanya kipindi
cha xxl na mtu mzima Adam Mchomvu kuwa kwa yeyote atakae jitokeza kumuoa
basi lazima awe na si chini ya shilingi millioni 500..sikiliza
interview hapa chini
DC ILALA AMALIZA MGOMO WA WAFANYAKAZI ZAIDI YA 1,500 WA KIWANDA CHA NAMERA,
GONGOLAMBOTO
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Edward Mpogolo, amefanikiwa kumaliza mgomo wa
wafanyakazi zaidi ya 1,500 wa Kiwanda cha NAMERA kilichopo Gongolamboto,
jijini...
13 minutes ago


No comments:
Post a Comment