Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika mazishi ya kada wa CCM
mzee Azzan Ally Mangushi yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini
Dar es Salaam leo mchana. Mzee Mangushi aliwahi pia kuwa mjumbe wa
Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Kinondoni.
TANAPA, WADAU WA UTALII WASUKA MIKAKATI KABAMBE KUELEKEA MSIMU MPYA WA
UTALII
-
Na. Calvin Katera - Babati.
Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) imekutana na wadau wa utalii na uhifadhi
ili kusuka mikakati itakayochagiza ongezeko la wa...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment