Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika mazishi ya kada wa CCM
mzee Azzan Ally Mangushi yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini
Dar es Salaam leo mchana. Mzee Mangushi aliwahi pia kuwa mjumbe wa
Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Kinondoni.
RAIS NA AMIRI JESHI MKUU DKT SAMIA ATETA NA WAKUU WA KAMANDI,MATAWI NA
MAKAMANDA WA JWTZ MKOANI TANGA.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wakuu wa Kamandi, Wakuu wa Matawi na
Makamand...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment