DJ SEK EXCLUSSIVE: STEVE RNB APATA MENEJA MPYA AMBAYE NI SEIF KABELELE
Huyu ndie meneja mpya wa Mwanamuziki
Steve RnB , anaitwa Seif Kabelele, Kuanzia sasa ndiye atakayesimamia
Kazi za Muziki za Msanii Steve RnB.
Steve RnB, Mwanamuziki aliyetamba kwenye ngoma ya Tabasamu
Mwanamuziki Kutoka Tanzania katika
miondoko ya RnB Steve RnB leo amepata Manager mpya ambaye atakuwa
akisimamia kazi zake zinazohusiana na muziki wake.
JAB Yasema Uhuru wa Habari Uende na Uwajibikaji
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DAR ES SALAAM — Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa
Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema uhuru wa u...
Michezo : Zawadi Ligi ya Muungano Kuboreshwa
-
Na; Mwandishi Wetu, Unguja
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf
Masauni amesema msimu ujao wa Ligi ya Muungano utaboresh...
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment