Mshambuliaji wa Coastal Union ya Tanga, Nsa Job akiwa amefungwa bandeji gumu (POP) baada ya kuvunjika goti wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya JKT Ruvu uliofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Coastal Union ilishinda 3-0. (Picha na Habari Mseto Blog)
CRDB YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MIKOPO KWA WAFUGAJI
-
Wafugaji nchini wameendelea kunufaika na huduma za kifedha baada ya
kuongezeka kwa uelewa wao kuhusu masuala ya fedha na uwekezaji, hatua
iliyowezesha ku...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment