Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, November 15, 2012

POLISI KUJENGEWA NYUMBA 350 NA KITEGAUCHUMI OYSTERBAY



 Mtalaamu Mwelekezi wa Taasisi ya Bico ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Abdalah Chungu akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mradi wa ujenzi wa kitegauchumi cha Jeshi la Polisi na nyumba 350 za jeshi hilo.Ujenzi wa  Kitegauchumi hicho utafanywa na Kampuni ya Mara Group Ltd ya Uganda eneo la polisi lililopo Namanga, Oysterbay, Dar es Salaam. Kushoto ni Msemaji wa jeshi hilo, Advela Senso.Picha ya chini anayeonekana kulia ni Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Isaac Nantanga.

No comments:

Post a Comment