Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam,
kuhusu jitihada zilizofanywa na Serikali kukabiliana na uhaba wa mafuta
nchini, ambapo imeamua kupunguza kiwango cha mafuta yanayosafirishwa
kwenda nchi jirani na kuongeza kwenye soko la ndani. PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA
SERIKALI YATANGAZA NEEMA KWA WAKULIMA KUPITIA VISIMA VYA UMWAGILIAJI
-
Njedengwa - Dodoma 📍
SERIKALI inaendelea na utekelezaji wa mkakati wake wa kuongeza tija katika
kilimo baada ya kusambaza pampu za Umwagiliaji kwa vikun...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment