Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam,
kuhusu jitihada zilizofanywa na Serikali kukabiliana na uhaba wa mafuta
nchini, ambapo imeamua kupunguza kiwango cha mafuta yanayosafirishwa
kwenda nchi jirani na kuongeza kwenye soko la ndani. PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA
TANAPA, WADAU WA UTALII WASUKA MIKAKATI KABAMBE KUELEKEA MSIMU MPYA WA
UTALII
-
Na. Calvin Katera - Babati.
Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) imekutana na wadau wa utalii na uhifadhi
ili kusuka mikakati itakayochagiza ongezeko la wa...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment