Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam,
kuhusu jitihada zilizofanywa na Serikali kukabiliana na uhaba wa mafuta
nchini, ambapo imeamua kupunguza kiwango cha mafuta yanayosafirishwa
kwenda nchi jirani na kuongeza kwenye soko la ndani. PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA
Vodacom Digital Accelerator na Bridge for Billions waingia ubia wa miaka
mitatu kuimarisha mfumo wa ujasiriamali Tanzania
-
*Mkurugenzi wa Vodacom Business Nguvu Kamando (kushoto), akisalimiana na
Mkurugenzi wa Programu za Afrika wa Bridge for Billions, Liliosa Mbirimi
(kulia)...
18 hours ago

No comments:
Post a Comment