Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam,
kuhusu jitihada zilizofanywa na Serikali kukabiliana na uhaba wa mafuta
nchini, ambapo imeamua kupunguza kiwango cha mafuta yanayosafirishwa
kwenda nchi jirani na kuongeza kwenye soko la ndani. PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA
Wachimbaji Mirerani Walalamikia Wafanyabiashara Kupandisha Bei za Bidhaa
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Baadhi ya wachimbaji na wakazi wa eneo la Mirerani wilayani Simanjiro,
mkoani Manyara, wameeleza kutoridhishwa na uamuzi wa wafanyabi...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment