Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, January 29, 2013

MARIO BALOTELLI KUJIUNGA NA AC MILAN



Mario Balotelli 'mtoto mtukutu' sasa anarudi kwao rasmi baada ya Manchester City kukubaliana bei na AC Milan juu ya kumnunua mchezaji huyo jioni hii.
Juventus nao walionyesha nia ya kumtaka Balotelli lakini wamekubali ofa ya £17 million kutoka kwa AC Milan huku kukiwa na nyongeza ya £2.5m itakayotolewa kulingana na mafanikio ya mchezaji. Balotelli anatarajiwa kwenda Italy kwa ajili ya vipimo vya afya kesho na kusaini mkataba wa miaka minne na nusu.
Balotelli pia amesadia dili hilo kukamilika baada ya kukubali kukatwa kiasi cha £1m ili aweze kujiunga na klabu yake ya utotoni kwa mkataba wenye thamani ya £3m.

No comments:

Post a Comment