Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam
Said Meck Sadik Muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jana usiku akitokea nchini Ethiopia
ambapo aluhudhuria mkutano wa Wakuu wan chi za umoja wa Afrika(AU)
uliofanyika jijini Addis Ababa(picha na Freddy Maro).
Profesa Mapesa ndani ya Banda la TIA Maonesho ya Wiki ya Kitaifa Elimu
,Tanga
-
Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) Profesa Haruni Mapesa
akisaini Kitabu wakati alipotembelea Banda la TIA katika Wiki ya Elimu
Kita...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment