Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam
Said Meck Sadik Muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jana usiku akitokea nchini Ethiopia
ambapo aluhudhuria mkutano wa Wakuu wan chi za umoja wa Afrika(AU)
uliofanyika jijini Addis Ababa(picha na Freddy Maro).
Mariam Ibrahim Ahimiza Matumizi ya Nishati Safi Mkuranga
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, ameendelea
kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.*
*Ameyasema hayo le...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment