Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam
Said Meck Sadik Muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jana usiku akitokea nchini Ethiopia
ambapo aluhudhuria mkutano wa Wakuu wan chi za umoja wa Afrika(AU)
uliofanyika jijini Addis Ababa(picha na Freddy Maro).
REA WAACHA TABASAMU KILOMBERO UJENZI KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARA
-
*Ni ujenzi uliogharimu Sh.bilioni 25,changamoto ya kukatika umeme imebaki
historia
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ifakara
MRADI wa ujenzi wa Kituo cha ku...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment