Meneja wa
Ufuatliaji wa Mipango Kazi na Mpango Mkakati wa Bohari ya Dawa (MSD),
Cosmas Nalimi akielezea jinsi MSD ilivyojidhatiti kuboresha huduma
nchini, wakati wa Kongamano la Nane la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
(NHIF) la kujadili tafiti zilizofanywa na wanahabari kuhusu matumizi ya
fedha zinazochangwa na wananchi kwa ajli ya masuala ya afya katika
halmashauri 26 nchini. Kongamano hilo lilifanyika mwishoni mwa wiki
mjini Mtwara. Baadhi ya dawa za msd inadaiwa zinauzwa nje ya nchi
ikiwemo Cameroon.

Msajili
wa Baraza la Pharmacy Tanzania, Dk. Midred Kinyara, akielezea mikakati
ya usajili wa maduka ya dawa baridi vijijini wakati wa kongamano
hilo.PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO
No comments:
Post a Comment