Kibaka
ambae jina lake halikufahamika mara moja akiwa chini ya ulinzi mkali wa
jeshi la polisi baada ya kutuhumiwa kumwibia simu mama mmoja
aliyefahamika kwa jina la Bi.Amina Abdalah eneo la Posta Mpya jijini Dar
es salaa leoana huyo alishambuliwa vikali na wananchi wenye hasira
kali, hata hivyo aliokolewa na askari polisi waliokuwa doria
KIHONGOSI: KUPANDA KWA BEI YA MAFUTA SI SIASA, NI CHANGAMOTO YA
DUNIA,ACHENI KUPOTOSHA UMMA
-
Na Janeth Raphael- MichuziTv -Dodoma
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi,
Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment