Kibaka
ambae jina lake halikufahamika mara moja akiwa chini ya ulinzi mkali wa
jeshi la polisi baada ya kutuhumiwa kumwibia simu mama mmoja
aliyefahamika kwa jina la Bi.Amina Abdalah eneo la Posta Mpya jijini Dar
es salaa leoana huyo alishambuliwa vikali na wananchi wenye hasira
kali, hata hivyo aliokolewa na askari polisi waliokuwa doria
TCAA Yatumia Wiki ya Utumishi wa Umma Kuelimisha Wananchi
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeungana na Taasisi mbalimbali
za umma kushiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayofany...
22 hours ago

No comments:
Post a Comment