Kibaka
ambae jina lake halikufahamika mara moja akiwa chini ya ulinzi mkali wa
jeshi la polisi baada ya kutuhumiwa kumwibia simu mama mmoja
aliyefahamika kwa jina la Bi.Amina Abdalah eneo la Posta Mpya jijini Dar
es salaa leoana huyo alishambuliwa vikali na wananchi wenye hasira
kali, hata hivyo aliokolewa na askari polisi waliokuwa doria
Uchumi : Benki ya NBC Yazindua Kampeni ya “NBC Shambani” Kuimarisha Elimu
ya Fedha na Kuchochea Kilimo Biashara Ruvuma
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua rasmi kampeni yake ya “Wekeza
NBC Shambani Ushinde” katika mkoa wa Ruvuma, ikiwa na lengo la kuimarisha
elim...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment