Kibaka
ambae jina lake halikufahamika mara moja akiwa chini ya ulinzi mkali wa
jeshi la polisi baada ya kutuhumiwa kumwibia simu mama mmoja
aliyefahamika kwa jina la Bi.Amina Abdalah eneo la Posta Mpya jijini Dar
es salaa leoana huyo alishambuliwa vikali na wananchi wenye hasira
kali, hata hivyo aliokolewa na askari polisi waliokuwa doria
Mkutano Mkuu wa Kilimo Ikolojia Hai kufanyika Machi mwaka huu
-
*Na Mwandishi Wetu*
*SHIRIKA la Kilimo Hai Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo (TOAM)
linaratarajia kufanya Mkutano MKuu wa Nne Machi 3 hadi Mac...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment