Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, February 18, 2013

WAKAZI WA MBEYA WAJITOKEZA KWA WINGI KUIPOKEA TIMU YA MBEYA CITY KWA KUPANDA DARAJA KUSHIRIKI LIGI KUU MSIMU UJAO



Baadhi ya mashabiki wa timu yaMbeya City wakicheza na kusubiri timi iingie toka songea
Ni vituko mtindo mmoja jamaa kwa furaha ya timu ya Mbeya City kupanda daraja kushiriki ligi kuu anataka kuvua suruali

Chales Mwakipesile  Dr Samwel Lazaro  na mhandisi wa barabara wakipanga ratiba ya mapokezi

Hivi ndiyo timu ilivyopokelea maeneo ya uyole jijini Mbeya hapa timu ya Mbeya City inapokelewa na mashabiki wake

No comments:

Post a Comment