Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, March 18, 2013

BIASHARA YA KUSAFISHA KUCHA NA MIGUU HAINA UAMINIFU KWA WAKE ZA WATU...



Kucha
Kama wewe ni mwanaume, huenda si wa kwanza kujiuliza maswali kila uonapo wanawake wengi wakiwa wamejipanga mstari kusafishwa kucha, kupakwa rangi kucha na kuoshwa miguu na vijana mbalimbali walioamua kujiajiri wenyewe. 


Ni biashara maarufu mjini na ambayo inazidi kukua kila kukicha. Katika biashara hiyo wanawake husafishwa kucha na kuoshwa miguu na wakati mwingine hadi sehemu za mwili za wanawake zinazokaribia maeneo ya mapaja (sehemu sensitive haswaa). Je! Shughuli hii ina madhara katika mahusiano? Vijana hawa wanaaminika?

No comments:

Post a Comment