BASI AINA YA COASTER LIKIWA LIMEHARIBIKA VIBAYA BAADA YA AJALI HIYO
HIZI NDO NAMBA ZA GARI NDOGO ILIYOSABABISHA AJALI HIYO
HUYU NI KONDA WA COASTER HIYO ALIYETEGUKA KIUNO
MAJERUHI WAKIWAISHWA HOSPITALI
HICHI NI KICHWA CHA LORI KILICHOGONGANA NA COASTER
HAWA NI VIBAKA WALIOKAMATWA WAKITAKA KUIBA VITU VYA ABIRIA
KWA MBALI NI KONDA ALIYETEGUKA KIUNO,NA MAMA ALIYEKATIKA MGUU
POLISI WAKIWA ENEO LA TUKIO
HILI NDO JILA COASTER HIYO ILIYOPATA AJALI
Rais Yoweri Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi wa 2026, mpinzani Bobi
Wine akataa matokeo
-
*KAMPALA, UGANDA — Tume ya uchaguzi nchini Uganda imeitangaza rasmi ushindi
wa Rais Yoweri Kaguta Museveni katika uchaguzi mkuu uliofanyika Alhamisi
wiki...
5 minutes ago













No comments:
Post a Comment