Kama
siku mbili tatu hizi mwanadada Komando Lady Jay Dee (Jide) ambae
anafanya fresh na ngoma yake ya Joto Hasira akiwa na Prof. Jay
ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, issue kubwa ni kuhusu nyimbo
zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja
wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu
ambayo inamilikiwa na Jide.
Rais Yoweri Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi wa 2026, mpinzani Bobi
Wine akataa matokeo
-
*KAMPALA, UGANDA — Tume ya uchaguzi nchini Uganda imeitangaza rasmi ushindi
wa Rais Yoweri Kaguta Museveni katika uchaguzi mkuu uliofanyika Alhamisi
wiki...
58 minutes ago



No comments:
Post a Comment