Kama
siku mbili tatu hizi mwanadada Komando Lady Jay Dee (Jide) ambae
anafanya fresh na ngoma yake ya Joto Hasira akiwa na Prof. Jay
ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, issue kubwa ni kuhusu nyimbo
zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja
wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu
ambayo inamilikiwa na Jide.
Bridging the Gap: JAB to Partner with Bloggers Network on Training
-
*Tanzania Bloggers Network (TBN) Chairman Beda Msimbe (left) meets with the
Journalism Accreditation Board’s Acting Director General, Advocate Patrick
Ki...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment