Kama
siku mbili tatu hizi mwanadada Komando Lady Jay Dee (Jide) ambae
anafanya fresh na ngoma yake ya Joto Hasira akiwa na Prof. Jay
ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, issue kubwa ni kuhusu nyimbo
zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja
wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu
ambayo inamilikiwa na Jide.
Morocco Watangazwa Mabingwa wa AFCON 2025 Baada ya CAF Kubatilisha Matokeo
ya Fainali
-
*Afrika: Shirikisho la Soka Barani Afrika, Confederation of African
Football, limetangaza rasmi kuwa Morocco national football team ndio
mabingwa wa michu...
16 minutes ago



No comments:
Post a Comment