Kama
siku mbili tatu hizi mwanadada Komando Lady Jay Dee (Jide) ambae
anafanya fresh na ngoma yake ya Joto Hasira akiwa na Prof. Jay
ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, issue kubwa ni kuhusu nyimbo
zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja
wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu
ambayo inamilikiwa na Jide.
BAYER YAENDELEZA KAMPENI YA UHAKIKI WA MBEGU MOROGORO
-
KAMPUNI ya Bayer Tanzania imeendelea na kampeni ya kitaifa ya uhamasishaji
kwa wakulima, inayolenga kuwahamasisha wakulima wa mahindi kuhakiki mbegu
z...
4 hours ago



No comments:
Post a Comment