Kama
siku mbili tatu hizi mwanadada Komando Lady Jay Dee (Jide) ambae
anafanya fresh na ngoma yake ya Joto Hasira akiwa na Prof. Jay
ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, issue kubwa ni kuhusu nyimbo
zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja
wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu
ambayo inamilikiwa na Jide.
Twende Butiama yabadilishwa jina Kuwa 'Nyerere Cycling Tour'
-
*Mkurugenzi wa Vodacom Business Nguvu Kamando, akizungumza na waandishi wa
habari kuhusu msimu mpya wa msafara wa Nyerere Cycling Tour (zamani Twende
Buti...
5 hours ago



No comments:
Post a Comment