Kama
siku mbili tatu hizi mwanadada Komando Lady Jay Dee (Jide) ambae
anafanya fresh na ngoma yake ya Joto Hasira akiwa na Prof. Jay
ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, issue kubwa ni kuhusu nyimbo
zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja
wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu
ambayo inamilikiwa na Jide.
Diwani Kata ya Picha ya Ndege Mhe Grace Jungulu atoa neno, Milango ya
nyumba yake ipo wazi muda wote.
-
*Mhe. Grace Ngowi Jungulu akionesha zawadi ya kitabu cha Mungu Biblia
aliyozawadiwa na watumishi wake wakati wa hafla fupi ya kuwashukuru
wanachama na wan...
59 minutes ago



No comments:
Post a Comment