![]() |
| Kabla ya kuogelea lazima ujipake mafuta maalumu ya kuzuia kuunguzwa najua,nikipata jua la asubuhi saa 4 kabla ya kuzama majini kuwaonesha ufundi wangu,sio kuimba tu hadi huku Naweza..... |
![]() |
| As always picha huwa zinahusikaga sana kwenye mfumo wa maisha yangu hii yote ni kukujuza wewe mtu wangu kujua kile kinachoendelea kwenye ulimwengu wangu... LOL.. |
![]() |
| With Emma Platnuma Silaha ya kichwa.....tukibaridhi ufukweni.....!! |
![]()
| ||
![]() |











No comments:
Post a Comment