Kwenye maelezo aliyoyatoa kwa millardayo.com Aminiel amesema Marehemu Langa alipokelewa kwenye idara ya wagonjwa wa magonjwa ya dharura usiku wa kuamkia jana na kupatiwa huduma ambapo leo June 13 2013 ndio alihamishiwa kwenye chumba cha wagonjwa Mahututi na baadae kufariki dunia.
TRA YAPONGEZWA UTARATIBU KUFANYA KAZI SAA 24 KATIKA BOHARI YA KUHIFADHI
MAFUTA
-
Na Mwandishi Wetu.
MSIMAMIZI wa Bohari ya kuhifadhia Mafuta (DEPOT)ya MOIL ENERGIES Dkt. Sajad
Habib Rai ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kwa...
57 minutes ago



No comments:
Post a Comment