Kwenye maelezo aliyoyatoa kwa millardayo.com Aminiel amesema Marehemu Langa alipokelewa kwenye idara ya wagonjwa wa magonjwa ya dharura usiku wa kuamkia jana na kupatiwa huduma ambapo leo June 13 2013 ndio alihamishiwa kwenye chumba cha wagonjwa Mahututi na baadae kufariki dunia.
Serikali Yasambaza Tani 674,000 za Mbolea kwa Ruzuku, Matumizi Yaongezeka
kwa Asilimia 54
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Wizara ya Kilimo imeendelea kuratibu upatikanaji wa mbolea nchini kwa lengo
la kuwawezesha wakulima kuongeza uzalish...
2 hours ago



No comments:
Post a Comment