MSANII Huyu aliekonga nafsi za wengi na kujizolea Furushi la mashabiki kwa kuimba staili ya kulewalewa Anatambulika kwa Jina la ''JONI WOKA'' Sasa aamua kunyoa Rasta na kubalidili muonekano, Baada ya kufanya mahojiano mafupi na mwandishi aliulizwa
kuhusu mziki akasema Yupo kwenye maandalizi makubwa na kwa leo hawezi
kusema chochote kuhusu mziki. Sasa Hebu angalia maoni yalivyoporomoka
hapo kwenye picha hii hapa chini, Hio ni katika ukurasa wake wa
Facebook.
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
4 hours ago



No comments:
Post a Comment