MSANII Huyu aliekonga nafsi za wengi na kujizolea Furushi la mashabiki kwa kuimba staili ya kulewalewa Anatambulika kwa Jina la ''JONI WOKA'' Sasa aamua kunyoa Rasta na kubalidili muonekano, Baada ya kufanya mahojiano mafupi na mwandishi aliulizwa
kuhusu mziki akasema Yupo kwenye maandalizi makubwa na kwa leo hawezi
kusema chochote kuhusu mziki. Sasa Hebu angalia maoni yalivyoporomoka
hapo kwenye picha hii hapa chini, Hio ni katika ukurasa wake wa
Facebook.
VIONGOZI WA UMMA WATAKIWA KUBADILI MTINDO WA KAZI ILI KUFIKIA DIRA 2050*
-
SERIKALI imesema hakuna tena biashara ya kawaida kwa Taasisi, Mashirika ya
Umma na Wakala za Serikali. Waziri Prof. Kitila Mkumbo amesema viongozi
lazim...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment