MSANII Huyu aliekonga nafsi za wengi na kujizolea Furushi la mashabiki kwa kuimba staili ya kulewalewa Anatambulika kwa Jina la ''JONI WOKA'' Sasa aamua kunyoa Rasta na kubalidili muonekano, Baada ya kufanya mahojiano mafupi na mwandishi aliulizwa
kuhusu mziki akasema Yupo kwenye maandalizi makubwa na kwa leo hawezi
kusema chochote kuhusu mziki. Sasa Hebu angalia maoni yalivyoporomoka
hapo kwenye picha hii hapa chini, Hio ni katika ukurasa wake wa
Facebook.
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
1 day ago



No comments:
Post a Comment