BUNGENI MUDA HUU............ Mbunge wa Nkassi Kaskazini Ali Mohamed Keissy ANAKINUKISHA BUNGENI MUDA HUU......... ANATAKA WALE WOTE WALIODHULUMU SHIRIKA LA NDEGE WAFUFULIWE HATA KAMA WAMEKUFA ILI MIFUPA YAO ISAGWE SAGWE IWE HUKUMU YAKO;;; (rekodi aliyonayo mbunge huyu aliwahi kusema kuwa endapo serikali haitapeleka maji jimboni kwake atawabeba kwenye gari wanawake ambao hawajaoga kwa muda wa siku tatu na kuwapeleka bungeni ili wakakinukishe kikwapa mjengoni)PIA NI WIKI ILIYOPITA TU ALIULIZA KAMA ILE GESI YA MTWARA NI YA KUJAMBA AMA LAA..........
Biashara : Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni aipongeza Puma Energy kurahisisha
upatikanaji huduma za nishati kwa wananchi
-
• Mkuu wa Wilaya ashiriki uzinduzi wa kituo kipya cha mafuta pamoja na
huduma za ziada kama vile duka la manunuzi ya mahitaji ya nyumbani, huduma
za kuo...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment