kampuni
ya samsung imetambulisha laptop hi mpya (tablet) iitwayo active q
yenye uwezo wa kutumia windows 8 na android operating system,active q
ina ukubwa wa screen wa 13.3 inches (33.8cm) yenye high resolution
3200x1800.inauwezo wa ku slide na kuwa tablet au ikakunjuliwa na
keyboard ikatumika kama stand ya laptop,samsung bado hawajatangaza kuwa
laptop hyo mpya itauzwa bei gani
WRRB YAJADILI MABORESHO YA KANUNI, YAWEKA MIKAKATI MIPYA YA MIAKA MITANO
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw.
Asangye Bangu, amesema Bodi inatarajia kuongeza bidhaa nyingine tano katika ...
8 hours ago





No comments:
Post a Comment