kampuni
ya samsung imetambulisha laptop hi mpya (tablet) iitwayo active q
yenye uwezo wa kutumia windows 8 na android operating system,active q
ina ukubwa wa screen wa 13.3 inches (33.8cm) yenye high resolution
3200x1800.inauwezo wa ku slide na kuwa tablet au ikakunjuliwa na
keyboard ikatumika kama stand ya laptop,samsung bado hawajatangaza kuwa
laptop hyo mpya itauzwa bei gani
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
7 hours ago





No comments:
Post a Comment