kampuni
ya samsung imetambulisha laptop hi mpya (tablet) iitwayo active q
yenye uwezo wa kutumia windows 8 na android operating system,active q
ina ukubwa wa screen wa 13.3 inches (33.8cm) yenye high resolution
3200x1800.inauwezo wa ku slide na kuwa tablet au ikakunjuliwa na
keyboard ikatumika kama stand ya laptop,samsung bado hawajatangaza kuwa
laptop hyo mpya itauzwa bei gani
Rais Samia akutana na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika
(AWLN), Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mlezi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika (AWLN) Rais
Mstaafu ...
3 hours ago





No comments:
Post a Comment