kampuni
ya samsung imetambulisha laptop hi mpya (tablet) iitwayo active q
yenye uwezo wa kutumia windows 8 na android operating system,active q
ina ukubwa wa screen wa 13.3 inches (33.8cm) yenye high resolution
3200x1800.inauwezo wa ku slide na kuwa tablet au ikakunjuliwa na
keyboard ikatumika kama stand ya laptop,samsung bado hawajatangaza kuwa
laptop hyo mpya itauzwa bei gani
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
1 day ago





No comments:
Post a Comment