Habari nilizozipata, mda mfupi ulio pita ni kuwa mwanasheria wa continental ametuma barua ya kuitaarifu startimes kujitoa kwa startv rasmi startimes, na mda simrefu Itv nao wanatuma rasmi barua kama hiyohiyo, huk startimes mashop yote ya dar ya startimes yameambiwa yawataarifu wateja kuhusu kutoka kwa hizo channel mbili.sourca jamii forum
NTAENDELEA KUWA UPDATE.....
Source mimi mwenyewe toka maeneo ya hapa bamaga startimes, nimepata habari hizi nikiwa ndani ya duka lao mda huu..wakijadiliana watafanyaje???
LIREFA KUNUNUA MAGOLI YA MNAZI MMOJA RANGERS KWA LAKI TATU
-
* Mwenyekiti wa LIREFA, CPA Hosseah Hopaje (katikati), na Katibu Mkuu
Ibrahim Hamisi (kulia) wakikabidhi msaada kwa timu ya Mnazi Mmoja Rangers
inayoji...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment