Habari nilizozipata, mda mfupi ulio pita ni kuwa mwanasheria wa continental ametuma barua ya kuitaarifu startimes kujitoa kwa startv rasmi startimes, na mda simrefu Itv nao wanatuma rasmi barua kama hiyohiyo, huk startimes mashop yote ya dar ya startimes yameambiwa yawataarifu wateja kuhusu kutoka kwa hizo channel mbili.sourca jamii forum
NTAENDELEA KUWA UPDATE.....
Source mimi mwenyewe toka maeneo ya hapa bamaga startimes, nimepata habari hizi nikiwa ndani ya duka lao mda huu..wakijadiliana watafanyaje???
PPAA: Moduli Mpya Yaongeza Ufanisi katika Usimamizi wa Malalamiko na Rufaa
za Ununuzi wa Umma
-
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imesema jumla ya malalamiko 549
(Administrative Reviews) yamewasilishwa na kushughulikiwa na Taasisi Nunuzi
kupit...
11 hours ago


No comments:
Post a Comment