Balozi wa Tanzania Africa ya Kusini Radhia Msuya.
Balozi wa Tanzania Africa ya Kusini kwenye picha hapo juu ametoa pole kwa familia,wasanii na wadau wote kwa kupotelewa na kijana ambaye bado watu walikuwa wanamuhitaji.Amesema kuwa mwili wa marehemu Ngwair umechelewa kufika Tanzania kutokana na post mortem na taratibu za kupata kibali cha kusafirisha mwili huo kutoka Serikali ya Africa ya Kusini.Radhia alisema kuwa kama taratibu zote zitaenda sawa mwili huo utawasili siku ya Jumanne Tanzania.MSIKILIZE hapo chini;
WATATU MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI MOROGORO
-
*Na Farida Mangube, Morogoro*
*Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limewakamata watuhumiwa watatu kwa tuhuma
za kuhusika na matukio ya mauaji yaliyotokea kat...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment