Balozi wa Tanzania Africa ya Kusini Radhia Msuya.
Balozi wa Tanzania Africa ya Kusini kwenye picha hapo juu ametoa pole kwa familia,wasanii na wadau wote kwa kupotelewa na kijana ambaye bado watu walikuwa wanamuhitaji.Amesema kuwa mwili wa marehemu Ngwair umechelewa kufika Tanzania kutokana na post mortem na taratibu za kupata kibali cha kusafirisha mwili huo kutoka Serikali ya Africa ya Kusini.Radhia alisema kuwa kama taratibu zote zitaenda sawa mwili huo utawasili siku ya Jumanne Tanzania.MSIKILIZE hapo chini;
Papa Leo XIV Amteua Mchumi wa Cameroon Kujiunga na Taasisi Muhimu ya Vatican
-
*Vatican City. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amemteua
mchumi wa maendeleo kutoka Cameroon, Dk. Vera Songwe, kuwa mwanachama wa
Ponti...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment