Balozi wa Tanzania Africa ya Kusini Radhia Msuya.
Balozi wa Tanzania Africa ya Kusini kwenye picha hapo juu ametoa pole kwa familia,wasanii na wadau wote kwa kupotelewa na kijana ambaye bado watu walikuwa wanamuhitaji.Amesema kuwa mwili wa marehemu Ngwair umechelewa kufika Tanzania kutokana na post mortem na taratibu za kupata kibali cha kusafirisha mwili huo kutoka Serikali ya Africa ya Kusini.Radhia alisema kuwa kama taratibu zote zitaenda sawa mwili huo utawasili siku ya Jumanne Tanzania.MSIKILIZE hapo chini;
Tanzania si Ya Kupita, ni Ya Kujivunia: Simulizi ya Safari Iliyonibadili
Mtazamo
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Katika zama hizi za utandawazi, Watanzania wengi huamini kuwa uzuri wa
dunia uko nje ya mipaka yetu. Hata hivyo, uzoefu mmoja mdogo w...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment