UPDATE ZA MSIBA WA NGWEA:::MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA HAUTAWEZA KUFIKA LEO JUMAPILI
Kamati ya msiba
tunaomba kutoa taarifa kwamba mwili wa marehemu ndugu yetu Albert
Mangwair hautafika siku ya Jumapili ya tarehe 02/06/2013 kama ilivyokuwa
imepangwa hapo awali,hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo
wetu.
Kwa sasa tunasubiri taarifa kamili kutoka kwa wawakilishi
waliopo Afika Kusini,maratutakapopata taarifa hizo tutawafahamisha zaidi.
NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
-
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika
Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba
za kifedha, ikiwemo Benki...
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment