skip to main |
skip to sidebar
VURUGU ZA ARUSHA WABUNGE WAWILI WASHIKILIWA MUDA HUU TAZAMA PICHA
Tundu Lissu na Mustafa Akunai wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa sasa.Hii ni taarifa toka kwa kamanda wa mkoa wa Arusha Liberatusi Sabas akihojiwa na radio ya hapa jijini radio Sunrise fm..Kamanda Liberatusi amesema makosa ya Wabunge hao ni haya:
Mkusanyiko usio rasmi
Kufunga barabara
Kuwashambulia polisi
Kamanda amesema watashikiliwa na jeshi la polisi mpaka uchunguzi utakapo kamilika.Hilo ndilo linaloendea mpaka sasa.Hizi ni habari sahihi zilizotolewa na kamanda wa mkoa huu wa polisi Liberatus Sabasi.
No comments:
Post a Comment