Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, July 13, 2013

SIMBA YANASA KIFAA KINGINE


.
Simba sports Club ya Dar es Salaam imefanikiwa kumsajili mfungaji bora wa michuano ya Kagame Cup 2013 Hamis Tambwe kutokea Vital O ya Burundi kwa kumpa mkataba wa miaka miwili July 12 2013 kuanza kuwatumikia wekundu hao wa Msimbazi kwa mujibu wa shaffihdauda.com


.
Tambwe mbele ya mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba. 

No comments:

Post a Comment