Yalikuwa ni
majira ya usiku wakati Hemedy PHD anamrudisha mshkaji wake Gelly wa
Rhymes home kwake Sinza ndipo mshkaji wakati anarudi kwake ndipo
ikatokea hii ajali mbaya kwa kugonga kalivati lililopo pembeni ya mtaro
hapa maeneo ya Kijitonyama Kisiwani. Hemedy ameumia kwenye paja na
kifuani ambapo staring ilimbana, kwa sasa bado yuko hosp anaendelea na
matibabu.CHANZO BONGO CLANTZ
PSPTB YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI 2026: ASILIMIA 43.7 WAFAULU,
DIRISHA LA MITIHANI YA KATI KUFUNGULIWA JULAI 1, 2026
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza matokeo ya
mitihani ya 33 ya taaluma ya Mnyororo wa Ugavi iliyofanyik...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment