Yalikuwa ni
majira ya usiku wakati Hemedy PHD anamrudisha mshkaji wake Gelly wa
Rhymes home kwake Sinza ndipo mshkaji wakati anarudi kwake ndipo
ikatokea hii ajali mbaya kwa kugonga kalivati lililopo pembeni ya mtaro
hapa maeneo ya Kijitonyama Kisiwani. Hemedy ameumia kwenye paja na
kifuani ambapo staring ilimbana, kwa sasa bado yuko hosp anaendelea na
matibabu.CHANZO BONGO CLANTZ
RC CHALAMILA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KUFUATIA KIFO CHA CARDINALI PENGO
-
Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Feb 23,2026 akiwa
ameambatana na kamati ya usalama Mkoa, amesaini kitabu cha maom...
9 hours ago


No comments:
Post a Comment