Yalikuwa ni
majira ya usiku wakati Hemedy PHD anamrudisha mshkaji wake Gelly wa
Rhymes home kwake Sinza ndipo mshkaji wakati anarudi kwake ndipo
ikatokea hii ajali mbaya kwa kugonga kalivati lililopo pembeni ya mtaro
hapa maeneo ya Kijitonyama Kisiwani. Hemedy ameumia kwenye paja na
kifuani ambapo staring ilimbana, kwa sasa bado yuko hosp anaendelea na
matibabu.CHANZO BONGO CLANTZ
Wizara ya Katiba na Sheria Yatangaza Mikakati ya Kukuza Haki na Sheria kwa
Mwaka wa Fedha 2026/2027
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Katika hotuba yake ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha
2026/2027, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt....
6 hours ago


No comments:
Post a Comment