Yalikuwa ni
majira ya usiku wakati Hemedy PHD anamrudisha mshkaji wake Gelly wa
Rhymes home kwake Sinza ndipo mshkaji wakati anarudi kwake ndipo
ikatokea hii ajali mbaya kwa kugonga kalivati lililopo pembeni ya mtaro
hapa maeneo ya Kijitonyama Kisiwani. Hemedy ameumia kwenye paja na
kifuani ambapo staring ilimbana, kwa sasa bado yuko hosp anaendelea na
matibabu.CHANZO BONGO CLANTZ
THBUB YATHIBITISHA TUHUMA ZA UKIUKWAJI HAKI ZA BINADAMU MGODI WA NORTH MARA
SIO ZA KWELI
-
*Na Mwandishi wetu.*
*TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini (THBUB), imebaini kuwa
tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu zilizotolewa na shir...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment