Diamondi apost picha katika instagram ambayo alipiga akiwa na mkali wa
miondoko ya HIP HOP ajulikanae kama R.O.M.A mkatoliki ikionyesha KIDOLE
cha kati kuhashilia kuwatukana waitazamayo hiyo picha na sijui ni
kuwatukana mashabiki wake au vipi ila inareportiwa awakera mashabiki
zake na wamemtaka aiondoe mtandaoni mara moja na kuwataka radhi kwa kile
kilichodaiwa kuwa ni kujivunjia HESHIMA yake kwa kasi sana pasipo yeye
kujijua nini anakifanya.....
Tanzania Breweries Plc (TBL) na WWF Tanzania Wakabidhi Miundombinu ya Mfumo
wa Maji Kibaha ili Kuimarisha Usalama wa Maji
-
Katika hatua muhimu ya kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji kwa jamii
za wenyeji na mazingira, Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) na WWF
Tan...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment