Yvonne Cherryl(Monalisa) ambaye ni actress maarufu Swahiliwood juzikati
alifanyiwa surprise ya kumwagiwa Shampeni na wafanyakazi wa radio Times
fm ya jijini Dar es salaam. Siku hiyo wafanyakazi hao walimpigia simu
Monalisa wakimtaka aende ufukwe wa Coco Beach na yeye kwenda akijua
ameitiwa kampani ya kawaida tu. Lakini alipofika akaanza kumwagiwa
shampeni na maji huku wakimwimbia wimbo wa hAappy Birthday kumbe ilikuwa
siku yake ya kuzaliwa actress huyo akitimiza miaka 32. Angalia picha
ilivyokuwa.............
MAKAMU WA RAIS AZINDUA AFISI YA UHAMIAJI WILAYA YA KATI UNGUJA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi ametoa wito kwa Wakazi wa Dunga mkoa wa Kusini Unguja kuendelea
kushi...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment