Yvonne Cherryl(Monalisa) ambaye ni actress maarufu Swahiliwood juzikati
alifanyiwa surprise ya kumwagiwa Shampeni na wafanyakazi wa radio Times
fm ya jijini Dar es salaam. Siku hiyo wafanyakazi hao walimpigia simu
Monalisa wakimtaka aende ufukwe wa Coco Beach na yeye kwenda akijua
ameitiwa kampani ya kawaida tu. Lakini alipofika akaanza kumwagiwa
shampeni na maji huku wakimwimbia wimbo wa hAappy Birthday kumbe ilikuwa
siku yake ya kuzaliwa actress huyo akitimiza miaka 32. Angalia picha
ilivyokuwa.............
WATENGEZAJI VIPULI VYA MITAMBO EACS WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUWEKA MAZINGIRA
RAFIKI YA UWEKEZAJI
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kisasa kinachozalisha Vipuli vya Mitambo
cha East Africa Conveyor Supplies Limited (EACS), Peter Andrew Kumalilwa
akiel...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment