Yvonne Cherryl(Monalisa) ambaye ni actress maarufu Swahiliwood juzikati
alifanyiwa surprise ya kumwagiwa Shampeni na wafanyakazi wa radio Times
fm ya jijini Dar es salaam. Siku hiyo wafanyakazi hao walimpigia simu
Monalisa wakimtaka aende ufukwe wa Coco Beach na yeye kwenda akijua
ameitiwa kampani ya kawaida tu. Lakini alipofika akaanza kumwagiwa
shampeni na maji huku wakimwimbia wimbo wa hAappy Birthday kumbe ilikuwa
siku yake ya kuzaliwa actress huyo akitimiza miaka 32. Angalia picha
ilivyokuwa.............
PSPTB YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI 2026: ASILIMIA 43.7 WAFAULU,
DIRISHA LA MITIHANI YA KATI KUFUNGULIWA JULAI 1, 2026
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza matokeo ya
mitihani ya 33 ya taaluma ya Mnyororo wa Ugavi iliyofanyik...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment