Yvonne Cherryl(Monalisa) ambaye ni actress maarufu Swahiliwood juzikati
alifanyiwa surprise ya kumwagiwa Shampeni na wafanyakazi wa radio Times
fm ya jijini Dar es salaam. Siku hiyo wafanyakazi hao walimpigia simu
Monalisa wakimtaka aende ufukwe wa Coco Beach na yeye kwenda akijua
ameitiwa kampani ya kawaida tu. Lakini alipofika akaanza kumwagiwa
shampeni na maji huku wakimwimbia wimbo wa hAappy Birthday kumbe ilikuwa
siku yake ya kuzaliwa actress huyo akitimiza miaka 32. Angalia picha
ilivyokuwa.............
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment