Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, September 10, 2013

ICC inaendelea kusikiliza kesi ya Ruto, Sang



ICC_3_5746f.jpg
Shauri la jinai dhidi ya ubinadamu linalomkabili Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto na mwandishi habari Joshua arap Sang linaendelea ICC. Unaweza kufuatilia kupitia TV zote za Kenya, zinaonekana kwenye Vingamuzi mbalimbali.

No comments:

Post a Comment