AZMA TV
imeanza kuonyesha mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kupitia Kituo cha
TBC1. ambapo meci ya kwanza ilikuwa ni mchezo kati ya Simba na Ruvu
Shooting, uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Picha
nyingine ni baadhi ya wafanyakazi wa Crew ya AZAM TV wakiwa kazini ndani
ya Uwanja wa Taifa.
SERIKALI YAAHIDI KUTUMIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI YA JUWATA KUTENGENEZA
BIDHAA MBALIMBALI
-
Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali
yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi
kwa vitendo...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment