ABDULRAHMAN KINANA APOKEA KERO ZA WAFANYAKAZI TAZARA MBEYA
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi huku
wakiwa wameshika mabango ya kupongeza serilkali na Chama cha mapinduzi
kwa kutekeleza ilani ya Uchaguzi ya Chama cha hicho wakati alipopokelewa
eneo la Iwambi akitokea Wilaya ya Mbeya Vijijini ambapo leo ameanza
ziara katika wilaya ya Mbeya mjini na kutembelea Shirika la TAZARA na
kuongea na wafanyakazi, ambapo amepokea matatizo mbalimbali ya shirika
hilo na wafanyakazi, Katika ziara hiyo kinana ameongozana na Nape Nnauye
Katibu wa Siasa, Itikadi na Uenezi na Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa
NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Mbunge wa kuteuliwa , Kulia ni
Ephraim Mwaitenda Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mbeya mjini, Ndugu
Abdulrahman Kinana na msafara wake anatarajia kurudi Dar es salaam kwa
kutumia treni hiyo ya TAZARA mara baada ya kumalizika kwa zara yake
mwishoni mwa wiki hiii .PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MBEYAKatibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wa tatu kutoka kulia akiwasili
kwenye stendi kuu ya TAZARA mjini Mbeya wakati alipozungumza na
wafanyakazi wa shirika hilo na kupokea kero mbalimbali za shirika hilo
na wafanyakazi wake, Kutoka kulia ni Ephraim
Mwaitenda Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mbeya mjini, Dr. Norman Sigalla
Mkuu wa wilaya ya Mbeya na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya na
Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki.Baadhi ya wakuu wa vitengo mbalimbali wa shirika la TAZARA Mbeya wakimsubiri Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Meneja wa TAZARA
wa Kanda ya Mbeya Bw Jija Nyirenda mara baada ya kupokelewa katika kituo
hicho, kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dr. Norman Sigalla.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kulia Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dr. Norman Sigalla na Dr.
Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Mbunge
wa kuteuliwa wakiingia kwenye ukumbi wa mkutano na wafanyakazi wa
TAZARABaadhi ya abiria wakivinjari katika kituo hicho kulia anayepishana nao ni Nape NnauyeMeneja wa TAZARA Kandaya Mbeya akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM ili kuongea na wafanyakazi wa shirika hilo.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiingia ukumbini huku akiongozana na Meneja wa TAZARA kanda ya Mbeya Bw. Jija NyirendaBaadhi ya wafanyakazi wa TAZARA wakimsikiliza katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman KinanaMwakilishi
wa wafanyakazi wa shirika hilo Shaban Malekela akisoma taarifa ya
wafanyakazi hao iliyoainisha matatizo yao wanayokumbana nayo katika
shirika hilo.Mfanyakzi mstaafu wa TAZARA Mzee Seif Rashid akitoa kero katika mkutano huo.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wafanyakazi wa TAZARA Mkutano ukiendeleaNape Nnauye akitoka kwenye ukumbi wa mkutano mara baada ya kumalizika kwa mkutano.Abdulrahman
Kinana akizungumza na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya wakati wakitoka
kwenye mkutano huo kulia ni Mkuu wa wilaya ya Mbeya Dr. Norman Sigalla.Kituo kikuu cha TAZARA Iyunga mjini Mbeya
KWA YANGA HII SIMBA IFUNGE NGUO ZIKAZE JUMAMOSI
-
Jumamosi, Machi 8, rekodi nyingine inakwenda kuandikwa katika mechi za
watani wa jadi kati ya Yanga na Simba, zitakapoumana katika mchezo wa Ligi
Kuu ya ...
Blog Zinazoanzia na Herufi ya W
-
*1. Wamtaani*
www.wamtaani.com
*2. Wanabidii Blog*
wanabidiiblog.blogspot.com
*3. Watanzania Waishio Nje ya Nchi*
watanzaniaughaibuni.blog...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment