Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, December 26, 2013

EAGLE ENTERTAINMENT KUACHIA FILAMU MPYA "MAJUTO SI HASARA"IKIWASHIRIKISHA MASTAA KAMA JACKLINE WOLPER NA WENGINEO





Eagle Entertainment Chini ya CEO Madam Yuster Nyakachara Wamemaliza kushoot Filamu yao mpya iendayo kwa jina la “MAJUTO SI HASARA”ambayo itaachiwa mda si mrefu katika soko la Filamu za kitanzania.Ndani ya Filamu hiyo kuna mastaaa kibao walioshirikishwa kama  Slim Omary,Jacklin Wolper na wengine kibaoo.Eagle Entertainment ni kampuni mpya ya utengenezaji Filamu nchini Tanzania na ndani ya filamu hiyo wameonyesha uwezo wa hali ya juuuu katika utengenezaji filamu,kwa kutumia uzoefu mkubwa na vifaa vya kisasa vilivyotumika.Madame Yuster Nyakachara amewaomba wapenzi wa filamu kutoa mchango wao wa hali na mali kuisapoti Filamu hii mpya pindi tu itakapoachiwa.

No comments:

Post a Comment