WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 26/12/2013.
[Mikoa ya Ruvuma,Lindi na
Mtwara]:
[Mikoa ya Iringa, Mbeya
na Rukwa]:
[Mikoa ya Kigoma na Tabora]:
[Mkoa wa Morogoro (
Kusini)]:
|
|
Hali
ya mawingu, mvua na ngurumo katika
baadhi ya maeneo na vipindi
vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mkoa wa Singida]:
|
|
Hali
ya Mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika
maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es salaam,
Pwani na Tanga]:
[Mkoa wa Morogoro
(Kaskazini)]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Arusha, Manyara
na Kilimanjaro]:
[Mkoa wa Dodoma]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
26°C
|
13°C
|
12:25
|
12:39
|
D'SALAAM
|
33°C
|
25°C
|
12:06
|
12:36
|
DODOMA
|
31°C
|
20°C
|
12:22
|
12:48
|
KIGOMA
|
28°C
|
22°C
|
12:48
|
01:10
|
MBEYA
|
25°C
|
15°C
|
12:26
|
01:02
|
MWANZA
|
28°C
|
20°C
|
12:40
|
12:52
|
TABORA
|
26°C
|
17°C
|
12:36
|
12:58
|
TANGA |
32°C
|
24°C
|
12:11
|
12:33
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
26°C
|
12:06
|
12:36
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kaskazini-Mashariki kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kaskazini kwa kasi ya km 30 saa kwa
Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi hadi makubwa
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
28/12/2013: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 26/12/2013.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.
No comments:
Post a Comment