Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, December 31, 2013

HABARI KALIII YA KUFUNGIA MWAKA LEO:::TAZAMA PICHA ZA KIJANA ALIYEPANDA JUU YA MNARA WA SIMU UBUNGO AKITAKA KUJIRUSHA SABABU YA UGUMU WA MAISHA,HUKU AKISISITIZA ANATAKA KUMUONA RAIS

Muda mchache uliopita katika hali isiyo ya kawaidia maeneo ya Ubungo mtu mmoja ameonekana juu ya mnara wa simu akitaka kujitupa chini kisa maisha yamemshinda, mtu huyo pia alidai anataka kumuona Rais.. alisikika akiyasema maneno hayo... tazama hapa tukio kamili


 Mashuhuda wakiwa wanashuhudia jinsi jamaa huyo anavyo taka kujitupa kutoka juu

 Kikosi cha Polisi kikifanya jitihada za kupanda juu na kumnusuru mtu huyo


 Watu wengi wakiwa wanashuhudia tukio hilo
 kazi ya uokoaji inaendelea sasa
 Watu wanazidi kuongezeka kushuhudia tukio hilo
 Kikosi cha polisi wakiwa wanakaribia kumtoa mtu huyo ambeye alikuwa juu







Picha zote na Dar es salaam yetu Blog

No comments:

Post a Comment