Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, January 14, 2014

HANS VAN DER PLYUM KUINOA YANGA



hans-vander-plyum_0cd8f.jpg
Hans Van Der Plyum ameingia mkataba wa kuinoa Young Africans kuanzia leo na moja kwa moja kesho mchana ataungana na wachezaji wake waliopo nchini Uturuki kwenye kambi ya mafunzo ya wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom na mashindano ya kimataifa baadae.

No comments:

Post a Comment