Taarifa
inasema abiria 28 wakiwemo watoto wanne wamejeruhiwa kwenye ajali ya
hili basi la Shabiby baada ya kugongana na lori la mafuta lililokua tupu
hivyo kupinduka kwenye kijiji cha Kisaki kwenye barabara kuu kutoka
Singida kwenda Dodoma.Taarifa zimethibitishwa na mkuu wa Wilaya ya
Singida na kwamba dereva wa basi alikimbia baada ya ajali kutokea saa
sita na dakika 50 mchana.
DKT.NCHIMBI ASHIRIKI KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MKOANI DODOMA
-
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CCM)
ambaye ni mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano ...
1 day ago





No comments:
Post a Comment