Hili ni jambo la kushangaza kabisa katika kukua kwa technologia Duniani kwa baadhi ya watu. Katika hili Majeshi ya Dunia yana zidi kujiimarisha katika Maswala ya ulinzi kwa kutengenezaa Sila zenye uwezo wa kufika masafa marefu, katika kuthibitiha hili Falme za kiarabu zimejiimarisha zaidi kwa kutengeneza silaha Zenye uwezo mkubwa ili kujilinda na mahasimu wao. . na hii ni silaha aina ya HEAVY ROCKET LAUNCHER, Gari hili limebeba mabom zaidi ya 240 na yote yanapigwa kwa dakika 2
JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI NA MADARASA SHULE YA SEKONDARI DK.
SELEMANI JAFO
-
*MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akikagua ujenzi wa
mabweni mawili na madarasa katika Shule ya Sekondari Dkt.Selemani
Jafo,wakati wa...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment