Hili ni jambo la kushangaza kabisa katika kukua kwa technologia Duniani kwa baadhi ya watu. Katika hili Majeshi ya Dunia yana zidi kujiimarisha katika Maswala ya ulinzi kwa kutengenezaa Sila zenye uwezo wa kufika masafa marefu, katika kuthibitiha hili Falme za kiarabu zimejiimarisha zaidi kwa kutengeneza silaha Zenye uwezo mkubwa ili kujilinda na mahasimu wao. . na hii ni silaha aina ya HEAVY ROCKET LAUNCHER, Gari hili limebeba mabom zaidi ya 240 na yote yanapigwa kwa dakika 2
DKT. MWIGULU: ACHENI UBOSI KWENYE KAZI ZA WATU
-
*Kijana Gideon amshukuru kurejeshewa fedha za mtaji wa dagaa
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Serikali waache
kufanya ubosi kwen...
29 minutes ago


No comments:
Post a Comment